Benki ya DCB kupitia mfuko wake wa kuisaidia jamii wa DCB FOUNDATION wasaidia kampeni ya usafi wa mazingira Temeke.

*Yakabidhi vifaa vya kufanyia usafi kwa DC Jokate.

Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo ( katikati) akishikana mikono na Meneja Mahusiano wa Benki ya Biashara ya DCB, Brino Londo baada ya kukabidhiwa  vifaa vya kufanyia usafi katika  siku ya usafi ya mwisho wa mwezi iliyofanyika kiwilaya katika kata ya Keko jijini Dar es Salaam jana. DCB imeshiriki kampeni hiyo kupitia mfuko wake wa kusaidia jamii wa DCB Foundation  kwa kufanya usafi na  kukabidhi msaada wa vifaa vya kufanyia usafi.
Meya wa Manispaa ya Temeke, Abdallah Mtinika ( kulia) akipokea sehemu ya vifaa vya kufanyia usafi kutoka kwa Meneja Mahusiano wa Benki ya Biashara ya DCB, Brino Londo katika  siku ya usafi ya mwisho wa mwezi iliyofanyika kiwilaya katika kata ya Keko jijini Dar es Salaam jana. DCB imeshiriki kampeni hiyo kupitia mfuko wake wa kusaidia jamii wa DCB Foundation  kwa kufanya usafi na  kukabidhi msaada wa vifaa vya kufanyia usafi.
Meya wa Manispaa ya Temeke, Abdallah Mtinika ( kulia) akipokea sehemu ya vifaa vya kufanyia usafi kutoka kwa Meneja wa Benki ya Biashara ya DCB Tawi la Temeke, Loyce Lwiza katika tukio la  siku ya usafi ya mwisho wa mwezi lililofanyika kiwilaya katika kata ya Keko jijini Dar es Salaam jana. Benki ya DCB chini ya mfuko wake wa kusaidia jamii wa DCB Foundation wasaidia usafi wa mazingira ya Wilaya ya Temeke.
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo ( wa tatu kushoto), Ofisa Masoko wa benki hiyo, Agness Ntabaye ( wa pili kushoto) na Meneja Mahusiano wa Benki ya Biashara ya DCB, Brino Londo  wakiwa pamoja wakati wa zoezi la siku ya usafi ya mwisho wa mwezi ambapo kiwilaya ilifanyika katika Kata ya Keko jijini Dar es Salaam. DCB imeshiriki kampeni hiyo kupitia mfuko wake wa kusaidia jamii wa DCB Foundation  kwa kufanya usafi na  kukabidhi msaada wa vifaa vya kufanyia usafi. 

Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo ( wa tatu kushoto) akifanya usafi pamoja na wafanyakazi wa Benki ya Biashara ya DCB katika siku ya usafi ya mwisho wa mwezi iliyofanyika kiwilaya katika kata ya Keko jijini Dar es Salaam jana. DCB imeshiriki kampeni hiyo kupitia mfuko wake wa kusaidia jamii wa DCB Foundation  kwa kufanya usafi na  kukabidhi msaada wa vifaa vya kufanyia usafi.
 Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo ( katikati), Meneja Mahusiano wa Benki ya Biashara ya DCB, Brino Londo ( kulia)  na Ofisa Masoko wa benki hiyo, Agness Ntabaye wakifanya usafi katika  siku ya usafi ya mwisho wa mwezi iliyofanyika kiwilaya katika kata ya Keko jijini Dar es Salaam jana. DCB imeshiriki kampeni hiyo kupitia mfuko wake wa kusaidia jamii wa DCB Foundation  kwa kufanya usafi na  kukabidhi msaada wa vifaa vya kufanyia usafi.

No comments: