MGOMBEA URAIS WA CCM RAIS DKT. MAGUFULI ALIVYOTUA MWANGA MKOANI KILIMANJARO


Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili Uwanja wa CD Msuya mjini Mwanga katika mkutano wake wa hadhara wa kampeni leo Jumatano

Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuamkia Waziri Mkuu Mstaafu Mzee David Cleopa Msuya alipowasili Uwanja wa CD Msuya mjini Mwanga katika mkutano wake wa hadhara wa kampeni leo Jumatano



Maelfu ya wananchi wakiwa tayari kumlaki na kumsikiliza Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Uwanja wa CD Msuya mjini Mwanga katika mkutano wake wa hadhara wa kampeni leo Jumatano



Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza kwa makini Waziri Mkuu Mstaafu Mzee David Cleopa Msuya alipokuwa akimkaribisha na kuongea machache Uwanja wa CD Msuya mjini Mwanga katika mkutano wake wa hadhara wa kampeni leo Jumatano




MGAGAO




No comments: