Na Amiri Kilagalila,Njombe
Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Njombe,wamezindua kampeni zao rasmi katika uwanja wa Polisi mjini Makambako tayari kwa ajili ya kuendelea na kampeni za kunadi Ilani kwa wananchi ili kupata ridhaa ya kuongoza serikali 2021-2025.
Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Njombe wazindua kampeni
Reviewed by
TUPASHANE
on
September 10, 2020
Rating:
5
No comments: