MAVUNDE AZINDUA MAONESHO YA KWANZA YA TEHAMA NCHINI

 Naibu Waziri, Wizara ya Kazi Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mh.Anthony Mavunde akizungumza na Wageni waalikwa kutoka makampuni mbali mbali yaayojihusha na Tehama, wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali walisoma mambo ya Tehama na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Maonesho ya kwanza ya kazi za Teheama nchini Tanzania yalioandaliwa na Huawei Tanzania  jijini Dar es Salaam jana.  
 Naibu Waziri, Wizara ya Kazi Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mh.Anthony Mavunde akisalimiana na baadhi ya wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali wakati wa uzinduzi wa maonesho ya kwanza ya kazi za Teheama nchini Tanzania yalioandaliwa na Huawei Tanzania  jijini Dar es Salaam jana.  

 Naibu Waziri, Wizara ya Kazi Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mh.Anthony Mavunde akisaini mara baada ya kuwasili kwenye uzinduzi wa Maonesho ya kwanza ya kazi za Teheama nchini Tanzania yalioandaliwa na Huawei Tanzania  jijini Dar es Salaam jana.
Naibu Waziri, Wizara ya Kazi Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mh.Anthony Mavunde akiwa kwenye picha ya pamoja na wanafunzi kutoka vyuo mbalimbalibali walisoma mambo ya Tehama wakati wa uzinduzi wa Maonesho ya kwanza ya kazi za Teheama nchini Tanzania yalioandaliwa na Huawei Tanzania  jijini Dar es Salaam jana.  

1 comment:

  1. Dearest Esteems,

    We are Offering best Global Financial Service rendered to the general public with maximum satisfaction,maximum risk free. Do not miss this opportunity. Join the most trusted financial institution and secure a legitimate financial empowerment to add meaning to your life/business.

    Contact Dr. James Eric Firm via
    Email: fastloanoffer34@gmail.com
    Whatsapp +918929509036
    Best Regards,
    Dr. James Eric.
    Executive Investment
    Consultant./Mediator/Facilitator

    ReplyDelete