MKUU WA OPERESHENI MAALUM JESHI LA POLISI AKITOA ELIMU JUU YA KUKABILIANA NA UHALIFU KATIKA KIJIJI CHA MASUGURU MKOANI MTWARA.


Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas, akisalimiana Kamandani Jawapi mwanakijiji wa Masuguru wilayani Masuguru mkoani Mtwara baada ya kumalizika mkutano na wananchi wa eneeo hilo.( Picha na Jeshi la Polisi)
Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas, akizungumza na wanakijiji cha Masuguru wilayani Masuguru mkoani Mtwara juu ya kukabilina na kuwafichua wahalifu wanaokimbilia kijijini hapo wakitokea nchini Msumbiji.( Picha na Jeshi la Polisi)
Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas, akizungumza na wanakijiji cha Masuguru wilayani Masuguru mkoani Mtwara juu ya kukabilina na kuwafichua wahalifu wanaokimbilia kijijini hapo wakitokea nchini Msumbiji.( Picha na Jeshi la Polisi)

No comments: