MBIO ZA SHUKRANI KWA MLIPAKODI KUELEKEA TUZO ZA RAIS KWA MLIPA KODI BORA NA MIAKA 30 YA TRA KUFANYIKA JUNI 27 2026.
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inawakaribisha walipakodi wote nchini kushiriki matembezi na mbio za Shukrani kwa Mlipakodi kuelekea Tuzo ya Rais kwa Mlipakodi bora na Maadhimisho ya miaka 30 ya TRA
Karibuni walipakodi wote na watanzania kwa ujumla siku ya Traehe 27 Juni, 2026 kuanzia saa 12 Asubuhi.‘Miaka 30 ya TRA, Kulipa kodi ni Uzalendo na Ushujaa kwa Maendeleo na kujitegemea kwa Taifa letu’’
#MbiozashukraniTRA #Miaka30yaTRA #TuzozaRaiskwamlipakodi

No comments: