TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI (INEC) YASHIRIKI MAADHIMISHO YA MEI MOSI KITAIFA-ARUSHA

 

 



Baadhi ya Watumishi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) wakisherehekea Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha wakipita mbele ya jukwaa kuu.

Baadhi ya Watumishi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) wakiwa katika maandamano ya Kuingia katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha ambapo Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yanafanyika Kitaifa.
Baadhi ya Watumishi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) wakiwa katika Picha ya Pamoja wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ambapo kitaifa yanafanyika jijini Arusha.

Baadhi ya Watumishi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) wakiwa katika Picha ya Pamoja wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ambapo kitaifa yanafanyika jijini Arusha

**** 

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) leo tarehe 1 Mei, 2024 imeungana na Watanzania kote nchini kusherekea siku ya Wafanyakazi Duniani, maarufu kama Mei Mosi.

Sherehe hizo ambazo zimefanyika kitaifa jijini Arusha katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, zimehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Kitaifa huku mgeni rasmi akiwa ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango.

No comments: