KIONGOZI MBIO ZA MWENGE WA UHURU KITAIFA AZINDUA DARASA LA TEHEMA SHULE YA WASICHANA YA JOKATE MWEGELO KISARAWE MKOANI PWANI
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Luteni Josephine Mwambashi (katikati) akimueleza jambo Meneja wa Vodacom Tanzania Foundation Sandra Oswald (kulia) mara baada ya kuzindua darasa la Tehama kwenye shule ya wasichana ya Jokate Mwegelo iliyopo wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani mwishoni mwa wiki. Vodacom Tanzania kupitia taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation imetoa kompyuta 15 kwa shule hiyo ikiwa na lengo la kuhakikisha wanafunzi wanapata maudhui ya elimu bure kupitia tovuti ya e-fahamu.
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Luteni Josephine Mwambashi (katikati) akimueleza jambo Meneja wa Vodacom Tanzania Foundation Sandra Oswald (kulia) mara baada ya kuzindua darasa la Tehama kwenye shule ya wasichana ya Jokate Mwegelo iliyopo wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani mwishoni mwa wiki. Vodacom Tanzania kupitia taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation imetoa kompyuta 15 kwa shule hiyo ikiwa na lengo la kuhakikisha wanafunzi wanapata maudhui ya elimu bure kupitia tovuti ya e-fahamu.
No comments: