KUTOKA MTAANI KWETU NDANI YA ILALA

Dagaa kutoka mkoa wa Kagera wakiwa  katika soko Kuu la Kariakoo  wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam wanauzwa kwa bei ya sh.6000hadi  Sh.8000
kwa  
kilo moja  Kama inavyoonekana pichani.
(Picha na Emmanuel Massaka,Michizi Tv)

Bei ya Tango  katika Soko  Kuu la Kariakoo wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam  yanauzwa kwa fungu moja lenye matango matatu kwash.1000.

No comments: