RC,DC WAPAMBANA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI IRINGA

Mkuu wa Mkoa Iringa Ally Hapi akimsikiliza Mkuu wa Wilaya Mh Richard Kasesela. Ziara ya mkuu wa mkoa akishirikiana kwa karibu na Mkuu Wa Wilaya Iringa Mh Richard Kasesela wameendelea kutatua kero za wananchi ikiwemo migogoro ya ardhi. Ziara hizi zimekuwa na mafanikio makubwa Kwa wanainchi, pia imekuwa ikileta changamoto Kwa watumishi wa serikali ambao hawawatendei haki wanainchi. 
Mkuu wa MKoa wa Iringa Ally Hapi akizungumza mbele ya Wananchi wakati wa ziara yake ya kusikiliza na kutatua kero za Wananchi ikiwemo migogoro ya Ardhi,Pichani kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh Richard Kasesela.
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh Richard Kasesela akimsikiliza mmoja wa Wananchi alipokuwa akiwasilisha kero yake kwa Mkuu wa Mkoa Mh Ally Hapi
Ziara ya mkuu wa mkoa akishirikiana kwa karibu na Mkuu Wa Wilaya Iringa Mh Richard Kasesela wameendelea kutatua kero za wananchi ikiwemo migogoro ya ardhi. Ziara hizi zimekuwa na mafanikio makubwa Kwa wanainchi, pia imekuwa ikileta changamoto Kwa watumishi wa serikali ambao hawawatendei haki wanainchi

No comments: