TANZIA: Advocate Martin Depores Matunda afariki dunia

Ndugu yetu Martin amefariki ghafla Leo asubuhi nyumbani kwake Sinza jijini Dar es salaam.
Mipango ya mazishi ni ni kwamba mwili umepangwa kuagwa siku ya Jumatano saa saba mchana nyumbani kwake Sinza, jirani na kanisa Katoliki lililo jirani na Lion Hotel. Baada ya kuagwa mwili utasafirishwa siku hiyo0 hiyo kwenda kwenda Bukoba kwa mazishi ambayo yamepangwa kufanyika siku ya Ijumaa.

No comments: