KAMATI YA LAAC YATEMBELEA MIRADI YA BARABARA MANISPAA YA MOROGORO

Meneja wa Wakala wa Barabara Vijijini (TARURA) Mkoa wa Morogoro, Mhandisi Godwin Mpinzile akitoa maelezo kuhusiana na mradi wa Barabara ya Maelewano iliyoko katika Manispaa ya Morogoro mbele ya Kamati ya Bunge ya Serikali za Mitaa (LAAC).kamati hiyo iko ziara Mkoani Morogoro kwa ajili ya kukagua miradi ya maji na barabara.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Mhe. Vedasto Ngombale akizungumza na watendaji wa Manispaa ya Morogoro kabla ya Kamati hiyo kutembelea miradi ya Barabara katika Manispaa hiyo. kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhe. Abdallah Chikota.

No comments: